5 Basi Yehova akawapa Israeli mwokozi,+ hata wakatoka chini ya mkono wa Siria, na wana wa Israeli wakaendelea kukaa katika nyumba zao kama hapo mwanzoni.+
20 “Je, Efraimu ni mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto anayetendewa kwa upendo?+ Kwa maana kwa kiasi ninachosema vibaya juu yake bila shaka nitamkumbuka zaidi.+ Ndiyo sababu matumbo yangu yamekuwa na msukosuko kwa ajili yake.+ Kwa kuwa nitamhurumia kabisa,”+ asema Yehova.
7 Lakini nitaionyesha rehema nyumba ya Yuda,+ nami nitawaokoa kupitia kwa Yehova Mungu wao;+ wala sitawaokoa kwa upinde wala kwa upanga wala kwa vita, wala kwa farasi wala kwa wapanda-farasi.”+