Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 106:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Naye akaiona taabu yao+

      Alipokisikia kilio chao cha kusihi.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakati wa taabu zao zote hilo lilimtaabisha.+ Na mjumbe wake binafsi akawaokoa.+ Katika upendo wake na katika huruma yake yeye mwenyewe aliwakomboa,+ naye akawainua na kuwachukua siku zote za zamani za kale.+

  • Yeremia 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Je, Efraimu ni mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto anayetendewa kwa upendo?+ Kwa maana kwa kiasi ninachosema vibaya juu yake bila shaka nitamkumbuka zaidi.+ Ndiyo sababu matumbo yangu yamekuwa na msukosuko kwa ajili yake.+ Kwa kuwa nitamhurumia kabisa,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki