Zaburi 102:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+ Waroma 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+
13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+
15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+