23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.
20 “Je, Efraimu ni mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto anayetendewa kwa upendo?+ Kwa maana kwa kiasi ninachosema vibaya juu yake bila shaka nitamkumbuka zaidi.+ Ndiyo sababu matumbo yangu yamekuwa na msukosuko kwa ajili yake.+ Kwa kuwa nitamhurumia kabisa,”+ asema Yehova.