Zaburi 52:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Zaburi 147:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo.+ 1 Petro 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 huku mkitupa mahangaiko+ yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
8 Lakini nitakuwa kama mzeituni+ wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Nazitegemea fadhili zenye upendo za Mungu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+