Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+

  • Hesabu 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ‘Yehova, si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ anayesamehe kosa na ubaya,+ lakini ambaye kwa vyovyote hatakosa kuadhibu,+ anayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la baba juu ya wana, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne.’+

  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki