25 “Tazama, mimi niko dhidi yako,+ Ee mlima wenye kuharibu,”+ asema Yehova, “wewe mwenye kuiharibu dunia yote;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuviringisha kutoka katika miamba na kukufanya kuwa mlima ulioteketezwa.”+
7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+