Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na dunia ikaharibika machoni pa Mungu wa kweli,+ dunia ikajaa jeuri.+

  • Zaburi 53:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Yeremia 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wote ni watu wakaidi zaidi,+ wanaotembea wakiwa wachongezi+—shaba na chuma. Wote ni wenye kuharibu.+

  • Yeremia 51:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Tazama, mimi niko dhidi yako,+ Ee mlima wenye kuharibu,”+ asema Yehova, “wewe mwenye kuiharibu dunia yote;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuviringisha kutoka katika miamba na kukufanya kuwa mlima ulioteketezwa.”+

  • Sefania 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki