8 Na malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake. Na kitu fulani kama mlima+ mkubwa unaowaka moto kikatupwa ndani ya bahari.+ Na sehemu ya tatu ya bahari ikawa damu;+
9 “Na wafalme+ wa dunia waliofanya uasherati pamoja naye na kuishi katika anasa isiyo na aibu watalia na kujipiga-piga wenyewe kwa huzuni juu yake,+ wanapoutazama moshi+ kutokana na kuungua kwake,