Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+

      Maneno yangu yatadondoka kama umande,+

      Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+

      Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+

  • Kumbukumbu la Torati 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na kwa vitu bora, mazao ya jua,+

      Na kwa vitu bora, mazao ya mwezi.+

  • Zaburi 72:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyofyekwa,+

      Kama manyunyu mengi yanayolowesha dunia.+

  • Isaya 55:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+

  • Mika 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Na mabaki ya Yakobo+ watakuwa katikati ya makabila mengi ya watu kama umande kutoka kwa Yehova,+ kama manyunyu mengi ya mvua juu ya mimea,+ ambayo hayamtumaini mwanadamu wala kuwangojea wana wa mtu wa udongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki