Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mungu akaendelea kusema: “Tazama nimewapa mimea yote inayozaa mbegu iliyo juu ya uso wa dunia yote na kila mti ambao una matunda ya mti unaozaa mbegu.+ Na iwe chakula kwenu.+

  • Mwanzo 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao utakuzalia miiba na mibaruti,+ nawe utakula mimea ya shambani.

  • Mwanzo 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kila mnyama anayetembea ambaye yuko hai anaweza kuwa chakula chenu.+ Kama nilivyowapa mimea ya majani, nawapeni hao wote.+

  • Ayubu 38:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ili kushibisha maeneo yenye kupigwa na dhoruba na yenye ukiwa

      Na kusababisha majani kuchipuka?+

  • Waebrania 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa mfano, udongo unaokunywa mvua ambayo huja mara nyingi juu yake, na kisha unazaa mimea inayofaa kwa wale ambao huo hulimwa kwa ajili yao,+ hupokea malipo ya baraka kutoka kwa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki