29 Mungu akaendelea kusema: “Tazama nimewapa mimea yote inayozaa mbegu iliyo juu ya uso wa dunia yote na kila mti ambao una matunda ya mti unaozaa mbegu.+ Na iwe chakula kwenu.+
7 Kwa mfano, udongo unaokunywa mvua ambayo huja mara nyingi juu yake, na kisha unazaa mimea inayofaa kwa wale ambao huo hulimwa kwa ajili yao,+ hupokea malipo ya baraka kutoka kwa Mungu.