Zaburi 34:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+ Zaburi 103:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+
103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+