2 Samweli 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Daudi akamwambia: “Hatia yako ya damu na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe,+ kwa sababu kinywa chako mwenyewe kimetoa ushuhuda juu yako,+ kusema, ‘Mimi mwenyewe kwa hakika nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+ Mathayo 12:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 kwa maana kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”+
16 Ndipo Daudi akamwambia: “Hatia yako ya damu na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe,+ kwa sababu kinywa chako mwenyewe kimetoa ushuhuda juu yako,+ kusema, ‘Mimi mwenyewe kwa hakika nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+