2 Samweli 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Daudi akamwambia: “Damu yako na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe, kwa sababu kinywa chako mwenyewe kilitoa ushahidi dhidi yako, uliposema, ‘Mimi mwenyewe nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+
16 Daudi akamwambia: “Damu yako na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe, kwa sababu kinywa chako mwenyewe kilitoa ushahidi dhidi yako, uliposema, ‘Mimi mwenyewe nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+