6 Kijana huyo akajibu: “Nilifika kwenye Mlima Gilboa+ bila kutazamia, nikamwona Sauli akiwa ameegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi walikuwa wamemfikia.+
10 Basi nikamkaribia na kumuua,+ kwa maana nilijua kwamba hangeendelea kuishi baada ya kuanguka chini akiwa amejeruhiwa. Kisha nikachukua taji lililokuwa kichwani mwake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, nami nimevileta hapa kwako bwana wangu.”