Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ndipo watu hao wawili wenye mzozo watakaposimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakitenda siku hizo.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na makuhani wana wa Lawi watakaribia, kwa sababu hao ndio Yehova Mungu wako amechagua wamhudumie+ na kulisifu+ jina la Yehova na ambao kwa kinywa chao kila mzozo juu ya kila tendo lenye jeuri, wapasa kuondolewa mbali.+

  • Hagai 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tafadhali, uliza makuhani juu ya sheria,+ ukisema:

  • Malaki 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki