1 Samweli 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa nini ninyi wanaume mnadharau* dhabihu yangu na toleo langu ambalo nimeamuru katika makao yangu?+ Kwa nini unaendelea kuwaheshimu wana wako kuliko mimi kwa kujinenepesha kwa sehemu bora za kila dhabihu inayotolewa na watu wangu Waisraeli?+
29 Kwa nini ninyi wanaume mnadharau* dhabihu yangu na toleo langu ambalo nimeamuru katika makao yangu?+ Kwa nini unaendelea kuwaheshimu wana wako kuliko mimi kwa kujinenepesha kwa sehemu bora za kila dhabihu inayotolewa na watu wangu Waisraeli?+