8 Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.
16 ‘Kuanzia ile siku niliyowatoa watu wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua+ jiji kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kujenga nyumba+ ili jina langu+ likae humo; lakini nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+