Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”

  • 2 Samweli 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini Daudi akamwambia Mikali: “Ilikuwa mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote, akanipa amri+ niwe kiongozi juu ya Israeli, watu wa Yehova, nami nitasherehekea mbele za Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yehova, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kutoka katika nyumba yote ya baba yangu+ niwe mfalme+ juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo; kwa maana alimchagua Yuda awe kiongozi,+ na katika nyumba ya Yuda aliichagua nyumba ya baba yangu,+ na kati ya wana wa baba yangu,+ alinikubali mimi,+ ili kunifanya niwe mfalme juu ya Israeli yote;

  • Zaburi 78:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 71 Aache kuwafuata wale wa kike wanaonyonyesha+

      Akamleta awe mchungaji juu ya Yakobo watu wake+

      Na juu ya Israeli, urithi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki