11 Mwishowe Samweli akamwambia Yese: “Je, hawa ndio wavulana wote?” Naye akasema: “Aliye mdogo zaidi ameachwa mpaka sasa,+ na tazama! analisha kondoo.”+ Kwa hiyo Samweli akamwambia Yese: “Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi kula chakula mpaka atakapokuja hapa.”