Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ 1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ — Zaburi 60:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+