Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+

  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Hesabu 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na wale wanaopiga kambi upande wa mashariki kuelekea mapambazuko ya jua watakuwa mgawanyo wa makabila matatu ya kambi ya Yuda kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu.

  • Hesabu 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo.

  • Waamuzi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akasema: “Yuda atapanda.+ Tazama! Hakika nitaitia nchi hiyo mkononi mwake.”

  • Zaburi 60:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu,+

      Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;

      Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki