10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
3 “Na wale wanaopiga kambi upande wa mashariki kuelekea mapambazuko ya jua watakuwa mgawanyo wa makabila matatu ya kambi ya Yuda kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu.
14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo.