Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Samweli akamwambia Yese: “Je, hawa ndio wavulana wote?” Naye akasema: “Aliye mdogo zaidi ameachwa mpaka sasa,+ na tazama! analisha kondoo.”+ Kwa hiyo Samweli akamwambia Yese: “Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi kula chakula mpaka atakapokuja hapa.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Na sasa utamwambia Daudi mtumishi wangu hivi, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Mimi mwenyewe nilikuchukua kutoka katika viwanja vya malisho ili uache kufuata kundi+ na uwe kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.

  • Zaburi 78:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Na kwa hiyo akamchagua Daudi mtumishi wake+

      Naye akamtoa katika mazizi ya kundi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki