30 Na itatukia kwamba, kwa kuwa Yehova atamfanyia bwana wangu mema kukuelekea kulingana na yote ambayo amesema, hakika atakuweka kuwa kiongozi juu ya Israeli.+
21 Lakini Daudi akamwambia Mikali: “Ilikuwa mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote, akanipa amri+ niwe kiongozi juu ya Israeli, watu wa Yehova, nami nitasherehekea mbele za Yehova.+