1 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+ 1 Samweli 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Daudi alikuwa akienda na kurudi kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ za baba yake katika Bethlehemu. Zaburi 78:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Na kwa hiyo akamchagua Daudi mtumishi wake+Naye akamtoa katika mazizi ya kundi.+
12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+
15 Naye Daudi alikuwa akienda na kurudi kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ za baba yake katika Bethlehemu.