Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi,+

      Kwa kweli hataliacha:+

      “Kati ya uzao wa tumbo lako+

      Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+

  • Yeremia 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao hakika watamtumikia Yehova Mungu wao na Daudi mfalme wao,+ ambaye nitawasimamishia.”+

  • Ezekieli 34:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+

  • Hosea 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye wana wa Israeli watarudi na hakika watamtafuta Yehova Mungu wao,+ na Daudi mfalme wao;+ nao watakuja kwa Yehova+ na kwa wema wake wakitetemeka katika siku za mwisho.+

  • Yohana 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Je, Andiko halijasema kwamba Kristo anakuja kutoka kwa uzao wa Daudi,+ na kutoka Bethlehemu+ kijiji ambako Daudi alikaa?”+

  • Matendo 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo, kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemwapia kwa kiapo kwamba angemketisha mmoja kutoka kati ya uzao wa viuno vyake juu ya kiti chake cha ufalme,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki