3 Tegeni sikio+ mnijie.+ Sikilizeni, na nafsi yenu itaendelea kuwa hai,+ na bila kusita mimi nitafanya pamoja nanyi agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo+ kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.+
23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+
5 Baadaye wana wa Israeli watarudi na hakika watamtafuta Yehova Mungu wao,+ na Daudi mfalme wao;+ nao watakuja kwa Yehova+ na kwa wema wake wakitetemeka katika siku za mwisho.+