5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+
Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,
Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+
Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,
Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+