Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Zaburi 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Anapenda uadilifu na haki.+

      Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+

  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki