Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+

  • 1 Wafalme 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mimi pia nitakifanya imara kiti cha ufalme wako juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo, kama nilivyomwahidi Daudi baba yako, nikisema, ‘Hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+

  • Zaburi 89:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Nimefanya agano kumwelekea mchaguliwa wangu;+

      Nimemwapia Daudi mtumishi wangu,+

  • Zaburi 89:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitahifadhi fadhili zangu zenye upendo kwake mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nalo agano langu litakuwa lenye uaminifu kwake.+

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi,+

      Kwa kweli hataliacha:+

      “Kati ya uzao wa tumbo lako+

      Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki