24 “ ‘ “Na mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme juu yao,+ nao wote watakuwa na mchungaji mmoja;+ nao watatembea katika maamuzi yangu ya hukumu,+ na sheria zangu watazishika,+ nao hakika watazifanya.+
30 Kwa hiyo, kwa sababu alikuwa nabii na alijua kwamba Mungu alikuwa amemwapia kwa kiapo kwamba angemketisha mmoja kutoka kati ya uzao wa viuno vyake juu ya kiti chake cha ufalme,+