Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo wakamkamata mfalme+ na kumleta kwa mfalme wa Babiloni kule Ribla,+ ili watangaze uamuzi wa hukumu juu yake.

  • Yeremia 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mwambie mfalme na malkia,+ ‘Ketini mahali pa chini,+ kwa maana hakika taji lenu la urembo litashuka kutoka juu ya vichwa vyenu.’+

  • Yeremia 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninamtia Farao Hofra mfalme wa Misri,+ mkononi mwa adui zake na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yake,+ kama nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, adui yake na yeye anayeitafuta nafsi yake.”’”+

  • Yeremia 52:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki