Methali 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni afadhali yeye akuambie: “Njoo hapa,”+ kuliko akushushe mbele ya mtu mwenye cheo ambaye macho yako yamemwona.+ Luka 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Unapoalikwa na mtu fulani kwenye karamu ya ndoa, usiketi mahali penye kuonekana zaidi.+ Huenda wakati huo akawa amemwalika mtu fulani mashuhuri kuliko wewe,
7 Kwa maana ni afadhali yeye akuambie: “Njoo hapa,”+ kuliko akushushe mbele ya mtu mwenye cheo ambaye macho yako yamemwona.+
8 “Unapoalikwa na mtu fulani kwenye karamu ya ndoa, usiketi mahali penye kuonekana zaidi.+ Huenda wakati huo akawa amemwalika mtu fulani mashuhuri kuliko wewe,