13 Na Yehu akakutana na ndugu+ za Ahazia+ mfalme wa Yuda. Alipowaambia, “Ninyi ni nani?” ndipo wakasema: “Sisi ni ndugu za Ahazia, nasi tuko njiani kwenda kuuliza kama ni salama kwa wana wa mfalme na kwa wana wa malkia.”
12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.