Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Na kama zile tini mbaya ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya,+ kwa kweli Yehova amesema hivi: “Ndivyo nitakavyomtoa Sedekia+ mfalme wa Yuda na wakuu wake na mabaki wa Yerusalemu wanaobaki katika nchi hii+ na wale wanaokaa katika nchi ya Misri+—

  • Ezekieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia;+ nami nitampeleka Babiloni, mpaka nchi ya Wakaldayo,+ lakini hataiona; naye atakufa huko.+

  • Danieli 4:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+

  • Luka 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki