Danieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akasema hivi kwa sauti kubwa: “Ukateni na kuuangusha mti huu,+ yakateni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kutawanya matunda yake! Wanyama na wakimbie kutoka chini yake, na ndege kutoka kwenye matawi yake. Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:14 “Kila Andiko,” uku. 140 Kuishi Milele, kur. 138-140 Amani na Usalama, kur. 71-72
14 Akasema hivi kwa sauti kubwa: “Ukateni na kuuangusha mti huu,+ yakateni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kutawanya matunda yake! Wanyama na wakimbie kutoka chini yake, na ndege kutoka kwenye matawi yake.