Danieli 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mfalme alipokuwa akiendelea kusema maneno hayo, sauti ikasema hivi kutoka mbinguni: “Unaambiwa hivi, Ee Mfalme Nebukadneza, ‘Ufalme umekuponyoka,+ Danieli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi alimpa baba yako Nebukadneza ufalme na ukuu na heshima na fahari.+ Danieli 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini moyo wake ulipokuwa na kiburi na roho yake kuwa ngumu hivi kwamba akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa chini kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, naye akanyang’anywa heshima yake.
31 Mfalme alipokuwa akiendelea kusema maneno hayo, sauti ikasema hivi kutoka mbinguni: “Unaambiwa hivi, Ee Mfalme Nebukadneza, ‘Ufalme umekuponyoka,+
18 Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi alimpa baba yako Nebukadneza ufalme na ukuu na heshima na fahari.+
20 Lakini moyo wake ulipokuwa na kiburi na roho yake kuwa ngumu hivi kwamba akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa chini kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, naye akanyang’anywa heshima yake.