Danieli 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Neno lile lilipokuwa bado kinywani mwa mfalme, sauti ikashuka kutoka mbinguni: “Wewe unaambiwa, Ee Mfalme Nebukadneza, ‘Ufalme umeondoka kwako.+ Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:31 Furahia Maisha Milele!, somo la 32
31 Neno lile lilipokuwa bado kinywani mwa mfalme, sauti ikashuka kutoka mbinguni: “Wewe unaambiwa, Ee Mfalme Nebukadneza, ‘Ufalme umeondoka kwako.+