Ezekieli 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nitaigeuza mifereji ya Nile+ iwe nchi kavu na kuiuza nchi mikononi mwa watu waovu. Nitaifanya nchi na kila kitu kilichomo kiwe ukiwa kwa mkono wa wageni.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’
12 Nitaigeuza mifereji ya Nile+ iwe nchi kavu na kuiuza nchi mikononi mwa watu waovu. Nitaifanya nchi na kila kitu kilichomo kiwe ukiwa kwa mkono wa wageni.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’