- 
	                        
            
            2 Samweli 24:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
16 Na malaika+ akaendelea kunyoosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuliangamiza; na Yehova akaanza kujuta+ kuhusu msiba ule, na kwa hiyo akamwambia yule malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu: “Imetosha! Sasa angusha mkono wako.” Na yule malaika wa Yehova alikuwa karibu na uwanja wa kupuria wa Arauna+ Myebusi.+
 
 -