19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda na wale wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kuanza kuutuliza uso wa Yehova,+ hivi kwamba Yehova akajuta ule msiba ambao alikuwa ametangaza juu yao?+ Basi sisi tunajifanyia msiba mkubwa juu ya nafsi zetu.+
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+