Yeremia 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Je, Mfalme Hezekia wa Yuda na watu wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kumwomba Yehova kibali,* hivi kwamba Yehova akabadili nia yake* kuhusu msiba aliotangaza dhidi yao?+ Basi tuko karibu kujiletea msiba mkubwa.
19 “Je, Mfalme Hezekia wa Yuda na watu wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kumwomba Yehova kibali,* hivi kwamba Yehova akabadili nia yake* kuhusu msiba aliotangaza dhidi yao?+ Basi tuko karibu kujiletea msiba mkubwa.