Yeremia 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda na wale wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kuanza kuutuliza uso wa Yehova,+ hivi kwamba Yehova akajuta ule msiba ambao alikuwa ametangaza juu yao?+ Basi sisi tunajifanyia msiba mkubwa juu ya nafsi zetu.+
19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda na wale wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kuanza kuutuliza uso wa Yehova,+ hivi kwamba Yehova akajuta ule msiba ambao alikuwa ametangaza juu yao?+ Basi sisi tunajifanyia msiba mkubwa juu ya nafsi zetu.+