Hesabu 35:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+ Matendo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+
33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+