9Basi palikuwa na mtu wa Benyamini, na jina lake lilikuwa Kishi,+ mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, Mbenyamini,+ mtu mwenye nguvu ya mali.+
11 Na ikawa kwamba wakati watu wote waliokuwa wakimjua hapo zamani walipomwona, tazama! alikuwa akitoa unabii pamoja na manabii. Basi watu wakaambiana: “Ni nini hili lililompata mwana wa Kishi? Je, Sauli pia yumo kati ya manabii?”+