1 Mambo ya Nyakati 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba ya Yehova Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa kwa ajili ya Waisraeli.”+
22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba ya Yehova Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa kwa ajili ya Waisraeli.”+