2 Samweli 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+ 1 Mambo ya Nyakati 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Daudi akamwambia Ornani: “Nipe mahali pa uwanja wa kupuria, ili nimjengee Yehova madhabahu hapo. Unipe kwa pesa kamili,+ ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.”
18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+
22 Ndipo Daudi akamwambia Ornani: “Nipe mahali pa uwanja wa kupuria, ili nimjengee Yehova madhabahu hapo. Unipe kwa pesa kamili,+ ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.”