9 kwamba apate kunipa pango la Makpela,+ ambalo ni lake, lililo mwisho wa shamba lake. Na anipe hilo kati yenu kwa kiwango kamili cha fedha liwe mahali pangu pa kuzikia.”+
21 Kisha Arauna akasema: “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Ndipo Daudi akasema: “Ili kununua+ kutoka kwako uwanja wa kupuria kwa ajili ya kumjengea Yehova madhabahu, ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.”