Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Haruni akakichukua mara moja, kama vile Musa alivyokuwa amesema, naye akakimbia kuingia katikati ya kutaniko; na, tazama! pigo lilikuwa limeanza katikati ya watu. Basi akatia uvumba juu yake na kuanza kufanya upatanisho kwa ajili ya watu.

  • Hesabu 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha akamfuata yule mwanamume wa Israeli ndani ya hema lenye kuba na kuwachoma wote wawili, mwanamume huyo wa Israeli na mwanamke huyo kupitia sehemu zake za uzazi. Ndipo tauni ikakomeshwa kutoka kwa wana wa Israeli.+

  • 2 Samweli 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki