Kutoka 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake. Zaburi 106:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Finehasi aliposimama na kuingilia kati,+Ndipo tauni ikazuiwa.
21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.