Waamuzi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakutaka kulala huko tena, basi akaondoka na kusafiri mpaka Yebusi, yaani, Yerusalemu.+ Alikuwa na punda wake wawili wenye matandiko, suria wake, na mtumishi wake.
10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakutaka kulala huko tena, basi akaondoka na kusafiri mpaka Yebusi, yaani, Yerusalemu.+ Alikuwa na punda wake wawili wenye matandiko, suria wake, na mtumishi wake.